Papa Adrian III
Mandhari
Papa Adrian III alikuwa papa kuanzia 17 Mei, 884 hadi kifo chake mwezi wa Septemba 885. Alimfuata Papa Marinus I. Alitangazwa kuwa mtakatifu mwaka wa 1891, na sikukuu yake ni 8 Julai.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |