Nenda kwa yaliyomo

Najisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Najisi ni kitu chochote ambacho ni kichafu na hakifai katika mwili wa binadamu.

Suala la unajisi lilitiwa maanani sana katika Agano la Kale, na hasa katika madhehebu ya Mafarisayo wakati wa Yesu Kristo.