Nenda kwa yaliyomo

Charles Ogessa Mlingwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Charles Ogesa Mlingwa)

Charles Ogessa Mlingwa (amezaliwa 6 Machi, 1959) ni mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Mengi kuhusu Charles Ogessa Mlingwa". 21 Julai 2006. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.