Nenda kwa yaliyomo

Gwenaeli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Gwenaeli katika dirisha la kioo cha rangi.

Gwenaeli (pia: Gwenhael, Gwenael, Guénaël, Gwenaël, Guénault, Guénaud; Ergué-Gabéric, Bretagne, karne ya 6 - Caudan, Bretagne, 590 hivi) alikuwa mmonaki[1] anayetajwa kama abati wa pili wa monasteri ya Landévennec nchini Ufaransa, baada ya mwanzilishi Vinvaleo [2].

Mwenyewe alianzisha monasteri nyingine tatu na kuzirekebisha hamisini hivi[3] .

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Novemba[4].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.